,

Mathayo 24 14 Quotes

Quotes tagged as "mathayo-24-14" Showing 1-1 of 1
Enock Maregesi
“Jukumu la kwanza la kanisa ni kueneza injili duniani kote kama tunavyoambiwa katika mathayo 24:14. Haijalishi utaieneza vipi, kwa sababu Mungu hajasema tuieneze vipi. Lakini la kwanza kabisa ni kuwa kwanza mwaminifu kwa Mungu kuweza kueneza injili duniani kote.”
Enock Maregesi