Nenda kwa yaliyomo

Mohamed Amsif

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mohamed Amsif

Mohamed Amsif (Kiarabu: محمد أمسيف‎; alizaliwa 7 Februari 1989) ni mchezaji wa soka anayecheza kama golikipa katika klabu, ya Ujerumani ya SV Wehen Wiesbaden.[1] Alizaliwa nchini Ujerumani, aliiwakilisha Morocco katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto ya 2012, akicheza katika mechi zote tatu za timu hiyo.[2]

Alihudhuria shule ya Gesamtschule Berger Feld.[3]

  1. "TORHÜTER UNTERZEICHNET BIS JUNI 2023". SV Wehen Wiesbaden. 5 Desemba 2022. Iliwekwa mnamo 13 Desemba 2022.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Mohamed Amsif Bio, Stats, and Results". Olympics at Sports-Reference.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-04-18. Iliwekwa mnamo 2017-11-21.
  3. "unsere erfolgreichsten Fussballschüler". Gesamtschule Berger Feld. Gesamtschule Berger Feld. Iliwekwa mnamo 25 Julai 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mohamed Amsif kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.