Nenda kwa yaliyomo

Brittany Baxter

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Brittany Amanda Baxter

Amezaliwa 5 september 1985
kanada
Nchi canada
Kazi yake mchezaji

Brittany Amanda Baxter (née Timko) (alizaliwa Septemba 5, 1985) [1] ni mchezaji wa soka mstaafu wa nchini Kanada ambaye alichezea vilabu vitano tofauti na kushinda mechi 132 akiwa na timu ya taifa ya Kanada.

Kazi ya klabu

[hariri | hariri chanzo]

Timu yake kwanza kuchezea ilikuwa Vancouver Whitecaps Women . Alicheza pia kwenye timu ya soka ya chuo kikuu cha Nebraska-Lincoln tangu 2003 hadi 2007, alihitimu Mei 2007. Kisha akasainiwa na timu ya Melbourne Victory ya ligi ya W-League ya Australia mnamo Oktoba 2008, [2] akaungana na kocha wake wa zamani Matt Shepherd. [3]

  1. "Athlete Detail Page – Brittany Baxter". Canadian Olympic Committee. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 20, 2008. Iliwekwa mnamo Agosti 21, 2008.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Victory Women on track for Westfield W-League debut". Melbourne Victory. Oktoba 14, 2008. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-04-19. Iliwekwa mnamo Agosti 12, 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Victory in Melbourne » melbourne victory". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Januari 6, 2009. Iliwekwa mnamo Aprili 2, 2009.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Brittany Baxter kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.