“Badilisha tabia. Badilisha mazingira ya maisha yako. Haijalishi una umri kiasi gani au wewe ni mwanamke au mwanamume, bado hujachelewa kubadili maisha yako kutoka duni kuwa bora – kuwa na amani, furaha na kuridhika. Kama desturi yako ni kuamka saa 12:00 asubuhi kila siku ili ufike kazini saa 2:00 asubuhi ambao ni muda wa serikali wa kuanza kazi, amka saa 11:30 asubuhi ili ufike kazini saa 1:30 asubuhi – nusu saa kabla ya kuanza kazi. Kama unafanya kazi ya taaluma uliyosomea lakini maisha hayaendi, fikiria kubadili mwelekeo wa maisha ikiwemo taaluma kufikia malengo uliyojiwekea.”
―
Share this quote:
Friends Who Liked This Quote
To see what your friends thought of this quote, please sign up!
1 like
All Members Who Liked This Quote
Browse By Tag
- love (97323)
- life (75824)
- inspirational (72540)
- humor (43652)
- philosophy (29428)
- inspirational-quotes (26833)
- god (25969)
- wisdom (23532)
- truth (23521)
- romance (22974)
- poetry (22008)
- death (19936)
- happiness (18612)
- life-lessons (18515)
- hope (17802)
- faith (17787)
- quotes (16691)
- inspiration (16469)
- spirituality (15063)
- religion (14830)
- motivational (14798)
- writing (14738)
- relationships (14411)
- life-quotes (14126)
- love-quotes (13783)
- success (13388)
- time (12313)
- motivation (11891)
- science (11613)
- knowledge (11222)