Bokungu
Mandhari
Bokungu ni mji mkuu wa eneo la jimbo la Tshuapa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.[1] Iko katika ukingo wa kulia wa mto Tshuapa, kilomita 256 mashariki mwa mji mkuu wa jimbo Boende.
Angalia pia
Marejeo
- ↑ Geonames, 218479 : Bokungu