,

Discouraging Quotes

Quotes tagged as "discouraging" Showing 1-5 of 5
“Keep going. No matter what you do, no matter how many times you screw up and think to yourself "there's no point to carry on", no matter how many people tell you that you can't do it - keep going. Don't quit. Don't quit because a month from now you will be that much closer to your goal than you are now. Yesterday you said tomorrow. Make today count.”
Anonymous

Barbara Kingsolver
“Beginning a novel is always hard. It feels like going nowhere. I always have to write at least 100 pages that go into the trashcan before it finally begins to work. It's discouraging, but necessary to write those pages. I try to consider them pages -100 to zero of the novel.”
Barbara Kingsolver

Enock Maregesi
“Katika maisha watu wengi hawataki kukuona ukiendelea kwa sababu ukiendelea unakuwa kioo kwao. Ghafla wataanza kukutazama. Wanajua wana akili kama wewe, wamesoma kama wewe, au wana akili kuliko wewe, au wamesoma kuliko wewe, na labda wanazijua sifa zako za udhaifu na sifa zako za ushupavu toka utotoni kwako. Lakini ghafla unakuwa kioo, na wanapojitazama katika hicho kioo, wanajiona taswira zao isipokuwa sasa hawapo mahali ambapo wewe upo. Katika maisha watu watakushauri, watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi kwa sababu hawaoni unachokiona, hawajui unachokifanya na hawajui unapoelekea. Unachokiona ni takdiri ya maisha yako, unachokifanya ni kupanda mbegu na kuzimwagilia kwa imani, na unapoelekea ni kileleni. Hivyo, songa mbele, kuwa wewe daima, wape muda, wape nafasi.”
Enock Maregesi

Enock Maregesi
“Katika maisha watu watakufitini, watakurubuni na watakukatisha tamaa. Sema hapana kwa ndiyo nyingi.”
Enock Maregesi

“Discouraging words should not weigh you down instead they should challenge you”
Sunday Adelaja